SIMAMA LOAN - MKOPO RAHISI NA NAFUU

Simama nasi ni aina ya mkopo wa kawaida wa kiwango cha Tsh 500,001 hadi 3,000,000 na unaotolewa kwa wajasiriamali wafanyabiashara na watumishi. Lengo kuu la mkopo huu ni kuinua biashara za wajasiriamali na pia kutibu dharula mbalimbali za kijamii kwa watumishi waajiriwa. Mkopo huu ni wa riba rahisi na hutolewa ndani ya masaa 24 baada ya kukamilisha vigezo na masharti yake.

Faida za mkopo inuka:
Unachagua muda wa marejesho kulingana na mzunguko wa kipato chako. (siku, wiki, siku 10, au mwezi , nk.

Muda wa mkopo : kuanzia mwezi 1 hadi miezi 6

Dhamana Zinazokubalika ni :
Vyombo vya Usafiri: Pikipiki, Bajaji, na Magari nk
Vifaa vya Kazi: Mitambo, mashine n.k
Mali Isiyohamishika: Kiwanja, shamba, au nyumba, n.k

Nb: kwa watumishi waajiriwa wana hiyari ya kuchagua kudhaminiwa na mwajiri au kujidhamini mwenyewe kupitia dhamana zako.

Jiunge nasi leo na USIMAME kimaisha kwa fedha ya haraka, rahisi, na salama! Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi au kutuma maombi yako sasa.

Wicom Support

Typically replies within a day